Quantcast
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TONI BRAXTON AUMBUKA JUKWAANI

 MUIMBAJI Toni Braxton amejikuta katika wakati mgumu alipokuwa akitumbiza jukwaani baada ya nguo yake aliyekuwa amevaa kupata 'hitilafu' kuchanika na kumuacha wazi sehemu ya makalio kwa muda mrefu bila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIONGOZI MKUU WA BROTHERHOOD AKAMATWA

KIONGOZI  mkuu wa vuguvugu la Muslim Brotherhood nchini Misri, Mohammed Badie amekamatwa na maafisa wa usalama kutoka makaazi yake eneo la Nasr 'City', Mjini Cairo. Badie aliwekewa kibali cha kumkamata...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAAFISA 24 WA POLISI WAUWAWA MISRI

Takriban maafisa 24 wa polisi kutoka Misri wameuawa kwenye shambulizi la kuvizia katika eneo la Rasi la Sinai. Duru zinaarifu polisi hao walikuwa kwenye msafara wa mabasi mawili yaliyoshambuliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE MWENYE NYWELE NDEFU DUNIANI

MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.Mwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele zake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKWIMU ZA WALIOHUKUMIWA DAWA ZA KULEVYA

SERIKALI imetoa takwimu za mahabusi waliohukumiwa kwa kesi ya dawa za kulevya ambapo takwimu hiyo inaonyesha jumla ya watu 10 wamehukumiwa kwa kipindi cha mwaka 2010,2012.Hayo yamesemwa na Msemaji Mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTENGENEZAJI VIDEO CRAZY MAN

 Kundi la TNG lipo katika hatua ya mwisho ya utengenezaji wa video ya wimbo wao unaojulikana kwa jina la 'crazy man'. Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha wakiwa wanarekodi video hiyo.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KENYA YASAINI DOLA NA CHINA

Kenya imesaini mkataba na China ambao unatoa dola bilioni tano kuimarisha huduma za Reli,Kawi na Uhifadhi wa Wanyama Pori kwa taifa hilo la Afrika Mashariki.Makubaliano hayo yaliafikiwa katika ziara ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BROTHERHOOD YALAANI KUKAMATWA KWA KIONGOZI WAKE

Vugu vugu la Muslim Brotherhood limelaani kukamatwa kwa kiongozi wake Mkuu Mohammed Badie, kwa tuhuma za kuchochea ghasia na mauaji.Msemaji wa kundi hilo amesema kukamatwa kwa kiongozi huyo ni njama ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TIKETI ZIMEANZA KUISHA KOMBE LA DUNIA BRAZIL

Shirikisho la soka duninai FIFA imesema kuwa zaidi ya tiketi milioni moja za kombe la dunia zimeombwa kupitia mtandao wake ndani ya saa saba pekee tangu zianze kuuzwa. Wengi walioagiza tiketi hizo ni...

View Article


MAKAHABA WAOMBA ULINZI WAWEPO KAZINI

BAADA ya kugundua kuwa biashara ya ukahaba inalipa kwa upande wao, wanawake wanaojishughurisha na biashara hiyo nchini Kenya waomba watambuliwe na wapewe ulinzi wanapokuwa kazini ili na wao walipe kodi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MICHAEL SCOLFIELD AJITANGAZA KUWA SHOGA

MUIGIZAJI aliyejipatia umaarufu katika tamthilia ya 'Prison Break' Wentworth Miller maarufu kwa jina la 'Michael Scolfield' ameamua kujitangaza rasmi kuwa yeye ni shoga.Muigizaji huyo ameamua kuweka...

View Article

UN YATAKA UCHUNGUZI SYRIA

Baraza la usalama la umoja wa mataifa limefanya kikao cha dharura kujadili madai kwamba wanajeshi wa serikali ya Syria wametumia silaha za kemikali pale walipofanya shambulio dhidi ya eneo lililopo nje...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA BOMOA BOMOA KURASINI KINACHOENDELEA

 ANGALIA PICHA ZAIDI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNDI LA PAGAD LAUA WATANZANIA 3, WAHUSISHWA NA DAWA ZA KULEVYA

Watanzania watatu wameuawa hivi karibuni jijini Cape Town, Afrika ya Kusini kwa tuhuma za kujihusisha na dawa za kulevya. Watanzania hao walipigwa risasi na kundi la watu waliokuwa wameficha nyuso zao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AIRTEL YAGAWA VITABU

Airtel Tanzania imeendelea na mradi wake wa kusambaza vitabu katika shule ya Sekondari nchini chini ya mradi wa ‘Shule yetu’ ambapo shule mbalimbali za sekondari nchini zimenufaika na mradi.Meneja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKENYA WAMUUA AFISA MSAAFU WA JESHI KWA MAPANGA

"Alisaidia kuendesha mbuga za Kenya wakati mtoto wa mfalme Prince William alipomchumbia mpenzi wake Kate Middleton"            Imeripotiwa kuwa aliyekuwa afisa wa jeshi la Uingereza ameuwawa kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJANGA: DRIVE-IN YA NGONO IMEANZA RASMI

“Jiji limehalalisha na kufungua vyumba 9 ambavyo vitatumiwa na machangudoa na wateja wao kihalali na kwa usalama zaidi”Drive-in ya ngono imefunguliwa rasmi, Zurich katika mkakati wa kuwalinda makahaba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KESI YA BO XILAI IMEKWISHA

Upande wa mashtaka katika kesi ya mwanasiasa mashuhuri nchini Uchina Bo Xilai, umetoa taarifa yake ya mwisho dhidi ya kiongozi huyo ambaye awali alitarajiwa na wengi kuchukua uongozi wa taifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPIGANO TENA GOMA

Mapigano mapya yamezuka mwishoni mwa juma katika eneo la Goma, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambapo ripoti zinasema watu watatu walifariki baada ya makombora kurushwa katika maeneo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WOTE KUKAGULIWA KASORO RAIS, MAKAMU, PM, JAJI MKUU NA SPIKA

Kuanzia sasa viongozi wote serikalini watakaopita kwenye viwanja vya ndege nchini, watakuwa wakikaguliwa kama abiria wengine, isipokuwa Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na Spika wa...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live