Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWS: RAIS MAGUFULI AMTUMBUA WAZIRI PROF MUHONGO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SBL YATOA ZAWADI YA GARI AINA YA SHS 50M/- KWA MSAMBAZAJI BORA

Mkurugenzi wa Mauzo wa SBL, Alain Tayo (wa kwanza kushoto) akimkabidhi nyaraka za gari aina ya Heicher lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 50 kwa Mwakilishi wa MM Group Joseph Chanika, ambaye ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANACHATO CHANGAMKIENI KILIMO CHA MIHOGO KINA TIJA KATIKA SOKO LA KIMATAIFA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita (RAS), Selestine Gesimba akizungumza na wataalamu wa kilimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Jukwaa la Bioteknojia na Uhandisi Jeni (OFAB) pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RASTAMAN MZEE WA MIAKA 110, BADO ANA NGUVU NA ANAIMBA MSIKILIZE HAPA

Rasta mzee anayedaiwa kuwa na miaka 110, akiimba nyimbo 'By the rivers of Babylon' Msikilize hapa chini

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MELANIA TRUMP HATAKI KABISA KUMSHIKA MUMEWE MKONO?

PICHANI: Mke wa Rais wa Marekani, Melania baada ya kukwepa mkono wa mumewe, baada ya kuwasili jijini Rome wakati wanashuka katika ndege ya Rais, Air Force One jumanne jioni katika Uwanja wa Kimataifa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBEGU BORA ZA MUHOGO ZINAHITAJIKA KUNUSURU WAKULIMA WILAYANI CHATO

Mwenyekiti wa Kijiji cha Ipandikilo kilichopo katika Halmshauri ya Wilaya ya Chato, Lazaro Kagundulilo (kulia), akizungumza na wanahabari pamoja na wataalamu wa kilimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEW MUSIC VIDEO: LAVALAVA - TUACHANE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAMPONGEZA JPM SAKATA LA MCHANGA WA MADINI, YALAANI VIKALI MAUAJI MKOANI...

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM, Itikadi na Uenezi Ndg Humprey Polepole akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JE WEWE UNA MLEVI WA MAJI? SOMA HII INAKUHUSU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWIJAGE MGENI RASMI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA TANGA

Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage kuwa mgeni kwenye maonyesho ya kimataifa yatakayoanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MANISPAA YA ILALA ATOA CHETI KWA MTUNZA MALI ZA UMMA

Na Leonce ZimbanduMKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Msongela Palela ametoa cheti cha shukurani kwa Mkazi wa Mtaa wa Kichangani kata ya Majohe, Gabriel Macheho (pichani) baada ya kutambua mchango wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UCHELEWESHAJI PEMBEJEO WAPOROMOSHA KILIMO CHA PAMBA MKOANI GEITA

Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Mbogwe, (kulia), Elias Kayandabila, akizungumza na waandishi wa habari, walioongozana na wataalamu wa kilimo kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LAPF PENSION YAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI

Meneja Masoko na Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, James Mlowe akifafanua jambo kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na mfuko huo wakati alipkuwa akizungumza katika mkutano wa siku moja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUMIA TRAVEL YAZINDUA RIPOTI YA UTALII BARANI AFRIKA

KUZIDI kuongezeka kwa watumiaji wa intaneti barani Afrika na kufikia zaidi ya milioni 300 ambayo kiuwiano kwa ueneaji wake ni sawa na 27.7% ni ishara nzuri kwa uchocheaji wa ukuaji wa shughuli za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZINGATIA HAYA UNAPOTAKA KUENDESHA GARI UMBALI MREFU

Na Jumia Travel TanzaniaLinaweza kuwa si jambo la kushangaza kuwaona watu wakisafiri kwenye usafiri wao binafsi kuelekea mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Na hii ni kutokana na maendeleo na mabadiliko...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

“MRADI WA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA HOIMA NCHINI UGANDA HADI BANDARI YA TANGA...

Afisa Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Augustino Kasale kulia akimueleza jambo Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji,Charles Mwijage kushoto wakati alipofungua maonyesho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MD KAYOMBO ASHAURI WATANZANIA KUFUATA FURSA ZILIPO

PICHANI: Mkurugenzi wa Manispaa ya ubungo Ndg John Lipesi KayomboWatanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuzifuata fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini ili kuiunga mkono Serikali katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMISSETA MKOA WA DAR ES SALAAM YAPAMBA MOTO

Kaimu Katibu Tawala upande wa Uchumi na Uzalisha Mkoa wa Dar es salaam Ndg Edward Otieno akizungumza wakati wa ufunguzi wa UMISSETA Mkoa wa Dar es salaam Leo Mei 28, 2017 katika Uwanja wa Uhuru....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI KWENYE MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI TANGA

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akitoa elimu kuhusu umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko huo kwa wakazi wa Jiji la Tanga kwenye banda lao lililopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC GAMBO AWATAKA WATUMISHI WA UMMA KUTOOGOPA KUSTAAFU

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza katika mkutano wa nane wa wadau wa mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF jijini Arusha juzi ,wakati akifunga mkutano huo ambapo aliwataka wastaafu...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live