Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

WAZIRI UMMY MWALIMU ATOA TAMKO KUHUSU KADI YA MANJANO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMAINGO YATOA ELIMU YA UJASIRIAMALI JIJINI MBEYA

PICHANI: Wazee wa Mtaa wa Maendeleo kata ya Maanga wakifuatilia Semina elekezi iliyokuwa ikitolewa na Wakufunzi wa Namaingo Jijini MbeyaKampuni lisilo la kiserikali "Namaingo Business Agency" ukanda wa...

View Article


SERIKALI YAFUTA VITUO VYOTE VINAVYOTOA HUDUMA YA VVU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UNDP WAKUTANA NA WANAFUNZI WA WERUWERU, KILIMANJARO

Mwakilishi wa Mashirika ya Kimataifa nchini na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Alavaro Rodriguez (katikati) akiwa ameongozana na Mkurugenzi anayesimamia Mashirika ya...

View Article

EXCLUSIVE NEW MUSIC: KAMOBA - LADY JAYDEE Ft. HAMOBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SBL YAANZA KUUZA BIA KENYA

Dar es Salaam, Februari 20, 2017- Kwa mara ya kwanza, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeanza kuuza nje ya nchi  bidhaa zake katika  soko la kikanda,  eneo la kwanza  likiwa ni nchi jirani ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIMU MKUU WA MKOA WA TANGA AIPONGEZA TAYODEA

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza wakati wa uzinduzi wa akibadhi vifaa vya vijana wa mradi wa WEKEZA (Wezesha Ustawi Endelevu kiwango cha Elimu Kuzuia Ajira kwa watoto)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAMAINGO YAWAKUTANISHA WAJASIRIAMALI WA MKOA WA TANGA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Bi Ubwa Ibrahim akisisitiza jambo kwenye mkutano huo wa pamoja. MENEJA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA JIJI LA TANGA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI

Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga.Alhaji Mustapha Selebosi akisisitiza jambo kwenye kikao cha baraza la madiwani leo kulia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga,Daudi Mayeji kushoto ni Mwenyekiti...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

EAST AFRICAN NGWASUMA ORINGINAL BAND WAWAPAGAWISHA WAKATI WA MKOANI KILIMANJARO

Kiongozi wa band ya East African Ngwasuma Original Band Kingombe Blaise wa pili kulia akiwa anafanya mambo katika ukumbi wa Filomena Bar uliopo Boma Ngo'mbe mkoani Kilimanjaro wakati wa onyesho lao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHIF YATOA ELIMU KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Ally Mwakababu akizungumza wakati wa kikao cha pamoja baina yao na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga kuhusu umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA WANAWAKE, WANAWAKE WATAKIWA KUJENGEA TABIA YA KUPIMA AFYA

Na Woinde Shizza,ArushaWanawake wote hapa nchini wametakiwa kujijengea tabia ya kupima afya zao mara kwa mara ili kuweza kujua matatizo ya mwili waliyonayo na kuyatatua kabla ya madhara makubwa kutokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKWIMU ZINAVYOONESHA HALI YA UZAZI SALAMA NCHINI TANZANIA

Karibia wanawake 67,000 walitibiwa katika vituo vya afya kwa ajili ya matatizo yanayotokana na utoaji mimba usio salama kwa mwaka 2013 nchini Tanzania. Hata hivyo, karibu wanawake wengine 100,000 ambao...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AFUNGUA MKUTANO WA WAKUU WA MASHIRIKA YA UMMA LEO IKULU, DSM

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake ya ufunguzi katika mkutano wa Wakuu wa Mashirika ya Umma uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam mapema leo. Mkutano huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWAWEZA: WENGI WAKUMBWA NA NJAA KATIKA KIPINDI CHA MIEZI MITATU ILIYOPITA

Kwa ujumla, wananchi hawana uhakika wa chakula lakini hali imezidi kuwa mbaya siku za karibuni1 Machi 2017, Dar es Salaam: Idadi kubwa ya wahojiwa wa Sauti za Wananchi (asilimia 78) wameripoti uhaba wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAIMU RC TANGA AGIZA WILAYA ZA MKOA HUO KUUNDA MAJUKWAA YA WANAWAKE

Mmmoja wa Wajasiriamali kushoto akimuonyesha Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tangaa,Mhandisi Mwanasha Tumbo ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Muheza akiangalia moja kati ya bidhaa wanazozalisha wakati wa kongamano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

G-NAKO "NAPENDA SANA SEX"

Irene Robinson na Abdul Mbwambo. Sio kitu cha kushangaza tena ukikuta msichana ananyanyua simu na kumpigia kijana kumtaka kimapenzi. Wala haishangazi kukuta kijana ana wapenzi zaidi ya mmoja na pengine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI : ZANZIBAR NA TAASISI NYETI SASA KUKATIWA UMEME KWA MADENI.

Rais John Pombe Magufuli, akizindua Mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza na kusambaza umeme wa Kilovolti 132kv, mkoani Mtwara leo Machi 5, 2017. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBUNGO YABAINISHA MPANGO WA KUKUZA UCHUMI NA KUPUNGUZA UMASIKINI

PICHANI: Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo Mhe Boniface Jacob akisisitiza jambo mbele ya waandishi wa habari ofisini kwake. (Picha zote na Nassir Bakari)Na Mathias Canal, Dar es salaamHalmashauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TGNP,OXFAM NA CARE INTERNATIONAL YAUNGANA MAADHIMISHO SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Mkurungezi wa TGNP Lilian Liundi (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutangaza uzinduzi wa kauli mbiu ya ya mwaka huu "“Kuwa Jasiri, PingaUkatili Dhidi ya Wanawake” Katika...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live