WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI WATAKIWA KUWA MABALOZI WA ELIMU YA MPIGA KURA
Afisa Uchaguzi wa NEC Bw. Stephen Elisante akiwaonyesha wanafunzi wa shule ya Sekondari Kidinda fomu maalumu zinazotumika kujaza matokeo ya uchaguzi katika vituo vya kupigia kura wakati akitoa elimu ya...
View ArticleTIMU YA GOLF YA JESHI YATAMBA KUREJEA NA USHINDI ARUSHA OPEN
Naibu Katibu Mkuu wa klabu ya gofu ya Lugalo ya Jijini Dar es Salaam Kanali Rajabu Mwenyumbu akiangalia Mazoezi ya mwisho ya timu ya klabu hiyo  ambayo inatarajia  kushiriki katika mashindano ya...
View ArticlePROF. MBARAWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA KIBONDO-NYAKANAZI
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa tatu kulia) akimsikiliza Mkandarasi wa Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza (kulia), inayojenga barabara ya Kibondo-Nyakanazi yenye urefu...
View ArticleWAZIRI LUKUVI. HAKUNA MAKAZI HOLELA YATAKAYOBOMOLEWA JIJINI MWANZA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe.Willium Lukuvi, akizungumza na wakazi wa Kata ya Buhongwa Jijini Mwanza, alipofanya ziara Jijini Mwanza hii leo.Waziri ameziagiza halmashauri za Jiji...
View ArticleCHUMI AENDELEA KUTAFUTA WADAU WA KUISAIDIA SHULE YA MSINGI MAKALALA
Mkurugenzi wa TEA Joel Laurent katikati akiangalia darasa la Tehama Computer ambazo baadhi zilitolewa kama msaada na TEA kwa shule hiyo.na fredy mgunda,Iringa. MBUNGE wa jimbo la mafinga mjini cosato...
View ArticleHATIMAYE ULIOKUWA MGOGORO MKUBWA WA UMEYA TANGA WAMALIZIKA
Na Mwandishi Wetu, Tanga.Hatma ya mgogoro wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya Jiji la Tanga yamalizika leo baada ya madiwani wa chama cha wananchi CUF kuingia kwa mara ya kwanza katika kikao cha...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AZINDUA KIWANDA CHA MAZIWA MEATU SIMIYU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akikata utepe kabla ya kuzindua kiwanda cha kusindika maziwa wilayani Meatu.Waziri wa Nchi...
View ArticleUVCCM MUFINDI WATAKA MWALIMU NYERERE AENZIWE KWA VITENDO
katibu wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoani Iringa kwaridela vijana wa cahama cha mapinduzi wilayani Mufindi wakati wa sherehe siku ya vijana wa chama cha mapinduzimwenyekiti wa chama cha mapinduzi...
View ArticleMTANDAO WA WIZI WA BAJAJI NA BODABODA WANASWA MBEYA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Dhahiri Kidavashali akizungumza na waandishi wa habari jijini Mbeya kuhusiana na tukio la kuunasa mtandao wa wizi wa Bajaji na Pikipiki (BodaBoda) Mkoani...
View ArticleWAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI AZINDUA BODI MPYA YA WAKURUGENZI WA MUWSA
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce Msiru akisalimiana na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhanidisi Gerson Lwenge alipowasili katika Mamlaka hiyo kwa ajili...
View ArticleMBUNGE VENNANCE MWAMOTO AGAWA VIFAA VYA MICHEZO KATIKA JIMBO LA KILOLO
Mbunge wa jimbo la kilolo Vennance Mwamoto akikabidhi vifaa vya mchezo wa mpira wa miguu kwa wanamichezo wa kijiji cha Bomalang'ombe wakati wa mkutano wa hadhara ulifanyika katika kijiji hicho na kulia...
View ArticleTAASISI YA ADLG YAANZA KUWANOA WANAHABARI JIJINI MWANZA KUHUSIANA NA SEKTA YA...
Baadhi ya wanahabari Jijini Mwanza, wakijadiliana wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuandika habari zenye tija katika jamii kuhusiana na sekta ya madini nchini. Pia wanahabari hao walipata wasaa...
View ArticleDC HAI AMALIZA MGOGORO WA ARDHI, AREJESHA SHAMBA KWA HALMASHAURI YA WILAYA YA...
Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara na wananchi wa vijiji vinne vilivyoko kata ya Machame Narumu akitoa uamuzi juu ya mgogoro wa ardhi wa shamba la Fofo...
View ArticleSBL YATOA ELIMU KUHUSU UNYWAJI POMBE KISTAARABU
Meneja wa SBL wa Uwajibikaji Katika Jamii, Hawa Ladha akitoa maelezo katizo kuhusu kampeni ya unywaji kistaarabu katika mkutano na wadau mbali mbali wakiwepo toka vyombo vya usalama na wafanyabiashara...
View ArticleSHINDANO LA MISS TANZANIA 2016 JIJINI MWANZA KUWA BORA ZAIDI
Leo Oktoba 19, 2016 Kamati ya Shindano la Maandalizi ya Miss Tanzania 2016 imesema Shindano hilo linalotarajiwa kufanyika Oktoba 29,10, 2016 katika viunga vya Rock City Jijini Mwanza, litakuwa bora...
View ArticleWILAYA YA HAI WAZINDUA KAMPENI YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA UJENZI WA...
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Said mecky Sadiki akishiriki katika uchimbaji wa msingi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa matatu katika shule ya msingi Msamadi ,uchimbaji ulioenda sanjari na uzinduzi rasmi...
View ArticleLAKE FM MWANZA KUTAMBULISHWA KWENYE USIKU WA MSHIKE MSHIKE NA KHADIJA KOPA
Usisahau kuhusu Show ya Usiku wa Mshike Mshike na Mfalme wa taarabu Afrka Mashariki na Kati iliyoandaliwa na 102.5 Lake Fm Mwanza.Ni alhamisi wiki hii tarehe 27.10.2016 ndani ya kiwanja cha nyumbani,...
View ArticleMKURUGENZI WA JIJI LA MWANZA ASHIKILIA MSIMAMO WAKE DHIDI YA WATENDAJI WA...
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba, akihojiwa na Waandishi wa Habari Jijini Mwanza, kuhusiana na sakata la Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Jijini Mwanza kugoma kukabidhi mihuri yao ya...
View Article