Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

MAXMALIPO WAWAFIKIA WATEJA DAR ES SALAAM

 Ofisa Uhusiano na Masoko wa Maxmalipo Bw. Isaac Nyimbo akimpa maelekezo mteja baada ya kutembelea banda lao katika viwanja vya Posta Dar es Salaam jana.  Wakati wa tamasha la 'Elimu exprience'

 Ofisa Uhusiano na Masoko wa Maxmalipo Bw. Isaac Nyimbo akiwa na baadhi ya wafanyakazi wenzie akitoa maelekezo kwa mteja baada ya kutembelea banda lao katika viwanja vya Posta Dar es Salaam jana.  Wakati wa tamasha la 'Elimu exprience'


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497