Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

SHAKHA ASEMA ATAVUMILIA WALA RUSHWA NDANI YA UVCCM

$
0
0
 Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM, Shakha Hamdu Shakha akizungumza na Waandishi wa Habari wakati akiotoa taharifa ya mwenendo wa mchakato wa uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) na kusema kuwa yoyote atakaye jihusisha na vitendo vya Rushwa asitegee nafasi ndani ya jumuiya hiyo au chama
 Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shakha Hamdu Shakha, akisisitiza jambo kwa Waandishi wa habari juuya mwenendo wa Jumuiya hiyo nchini na mafanikio waliyoyapata ndani ya miaka mitatu

 Waandishi wa  Habari walioshiriki mkutano huo wakifatilia hotuba ya Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shakha Hamdu Shakha
 Waandishi wa  Habari walioshiriki mkutano huo wakifatilia hotuba ya Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shakha Hamdu Shakha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles