Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

AJALI MBAYA, SIMBA MTOTO LAUA NA KUJERUI LEO ASUBUHI

$
0
0

Ajali mbaya imetokea kama inavyoonekana pichani mkoani Tanga leo asubuhi. Ajali hiyo ilitokea wakati basi la Kampuni ya Simba Mtoto ya Tanga ilipogongana na lori uso kwa uso katika eneo la Pangamlima, Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga. Basic hilo lilikuwa linatoka Tanga kuelekea Dar es Salam. Taarifa za awali zinaeleza kuwa watu zaidi ya 11 wamepoteza maisha na wengine 29 kurehiwa vibaya katika ajali hiyo.








Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles