Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

RAIS SHEIN ATOA MKONO WA POLE KWA WAFIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU

$
0
0
JUU: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Viongozi wa Serikali wakiuombea dua Mwili wa Marehemu Asha Bakari Makame walipofika nyumbani kwa marehe kuwafariji wafiwa wakati wa maziko hayo yaliofanyika katika Mtaa wa Jangombe.Unguja leo.

CHINI: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimfariji Mama wa Marehe Bi Mwanajuma Faki alipofika kutowa mkono wa pole kwa wafiwa nyumbani kwao Jangombe Unguja.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles