Quantcast
Channel: Matukio
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

JPM AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Bwana Sylvester Ambokile na Kamishna wa Uhamiaji anayeshughulikia Utawala na fedha Bwana Piniel Mgonja ili kupisha uchunguzi, kufuatia dosari alizozibaini Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mheshimiwa Charles Kitwanga alipotembelea Idara ya Uhamiaji hivi karibuni.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3497

Trending Articles