Rais wa Shirikisho la Filamu nchini Simon Mwakifamba katika akiwaonesha mashabiki waliohudhuria uzinduzi wa Kanumba Foundation, uliofanyika katika Ukumbi wa Dar Live jijini Dar es Salaam juzi (kulia) mama yake Kanumba Flora Mutegoa
ANGALIA ZAIDI . . .
Mama yake Kanumba, Flora Mutegoa akiwa amenyanyua juu kitabu kama ishara ya uzinduzi wa Kanumba Foundation, sambamba na rais wa filamu Simon Mwakifamba wakiwaonesha mashabiki waliohudhuria uzinduzi huo huku baadhi ya wasanii wakishuhudia zoezi hilo
ANGALIA ZAIDI. . .
Msanii wa vichekesho nchini akijitambulisha kwa mtindo wa kucheza sebeneMama yake Kanumba, Flora Mutegoa akiwa amenyanyua juu kitabu kama ishara ya uzinduzi wa Kanumba Foundation, sambamba na rais wa filamu Simon Mwakifamba wakiwaonesha mashabiki waliohudhuria uzinduzi huo huku baadhi ya wasanii wakishuhudia zoezi hilo