Quantcast
Channel: Matukio
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MOTUARY YA INYALA MKOANI MBEYA KUKAMILIKA MWEZI JULAI

Kaimu Mganga Mfawidhi wa Kituo cha cha Afya cha Inyala, Alvin Mutiganzi (kushoto), akitoa maelekezo ya ujenzi wa jengo la kuhifadhia maiti kwa maofisa wa Bohari ya Dawa (MSD) na waandishi wa habari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANDISHI APATA TUZO YA HESHIMA KUTOKA ASASI YA AWAMATA

PICHANI: Mwandishi wa habari na mchambuzi wa mambo mbalimbali nchini Tanzania Ndg Mathias Canal (Kushoto) akikabidhiwa tuzo ya cheti cha heshima kwa mchango wa utendaji katika jamii na Ndg Mohamed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAMASHA LA 7 LA 4CCP LAZINDULIWA HAYDOM MKOANI MANYARA

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akimsikiliza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Bw. Hudson Kamoga mara baada ya kuwasili kwenye kituo cha Utamaduni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU AZINDUA MRADI WA UUNGANISHWAJI WA UMEME WA GRIDI YA TAIFA KWA...

PICHANI: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifunua kitambaa kuashiria uzinduzi wa mradi wa uunganishwaji umeme wa Gridi ya Taifa kwa mikoa ya Lindi na Mtwara kwenye kituo cha kupoza na kusambaza umeme cha...

View Article

HOTUBA YA BAEJETI YA WIZARA YA MALIASI NA UTALII 2018/2019

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RITTA KABATI CHALLENGE CUP MSIMU 2018 YAANZA RASMI,TIMU ZAOMBWA KUCHUA FOMU...

Kulia ni Mwenyekiti wa mashindano ya Ritta Kabati challenge cup 2018 na kushoto ni katibu wa kamati ya mshindano hayo walipokuwa wakiongea na vyombo vya habari kwenye ofisi zao zilizopo manispaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAHIMIZA HALMASHAURI KUBUNI MIRADI YA KIMKAKATI ILI KUJIONGEZEA MAPATO

PICHANI: Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, akijibu maswali Bungeni, Jijini DodomaSerikali imeeleza kuwa Uchukuaji wa baadhi ya vyanzo vya mapato katika halmashauri ulifanyika kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMPUNI 380 KUSHIRIKI MAONESHO YA KIMAITAFA UTALII YA KARIBU KILIFAIR MOSHI

Mkurugenzi wa Kampuni ya Kilifair Ltd ,Tom Kunkler akizungumza mbele ya waandishi kuhusu tukio la Maonesho ya Kimatifa ya Utalii ya KAribu Kilifair yanayotaraji kufanyika mjini Moshi ,June 1 hadi 3...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WA MIKOA YA KUSINI WAIMWAGIA SIFA SERIKALI NA TANESCO KWA KUMALIZA...

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa(kushoto), akifurahia jambo na Wazitri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, (wapili kushoto), Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evod Mmanda,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AMTEMBELEA MWANARIADHA STEVEN AKHWARI MKOANI...

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akisalimiana na Mzee John Steven Akhwari Mwanariadha anayeheshimika Duniani mara baada kwasili alipomtembelea nyumbani kwake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHUO KIKUU CH MZUMBE WAZINDUA KITUO CHA KUTOA MSAADA WA KISHERIA

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro Prof Lughano Kusiluka akisisitiza jambo kwa wanafunzi chuo hicho kitivo cha Sheria alipowataka kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZAVUSHWA KUPITIA MTO WENYE MAMBA MKOANI RUVUMA

Wakazi wa vijiji vilivyopo kandokando ya mto Ruvuma wilayani Nyasa mkoani Ruvuma na wafanyakazi wa Bobari ya Dawa (MSD), wakisaidia kushusha maboksi yenye dawa na kuyaingiza kwenye mtumbwi baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WENGI HAWAFAHAMU KUFANYA MANUNUZI KWA NJIA YA MTANDAO

Na Jumia Tanzania Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, biashara nyingi Tanzania na duniani kote zimehamia kwenye mifumo ya mtandao wa intaneti. Ni miongoni mwa sekta inayokua kwa kasi hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AWATEMBELEA WAHADZABE NA WATATOGA MKOA WA MANYARA

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Bi. Suzan Mlawi akizungumza na wananchi wa jamii za Wahdzabe Watatoga na Wasukuma wakati alipotembelea Kata ya Eshkesh kijiji cha Dumanga Yaeda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZAWADI YA KUWAPA WATOTO KIPINDI CHA SIKUKUU NI TOTO AFYA KADI

WAZAZI na Walezi mkoani Tanga wametakiwa kuhakikisha wanawapa watoto wao zawadi kwenye kpindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani kwa kuwaingiza kwenye mpango wa Toto Afya Kadi ili waweze kunufaika na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPORI MATANO YA AKIBA MKOANI KAGERA NA GEITA KUPANDISHWA HADHI YA KUWA...

PICHANI: Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamisi Kigwangalla akizungumza bungeni alipokuwa akijibu hoja wa wabunge waliochangia mjadala wa bajeti wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAO MAKUU HALMASHAURI YA BUMBULIKUJENGWA KWEHANGALA

PICHANI: Ramani ya jengo la Halmashauri ya Bumbuli litakavyokuwa. (Picha na Yusuph Mussa, Immamatukio Blog).Na Yusuph Mussa, BumbuliImmamatukio BlogHATIMAYE Jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI MAVUNDE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA WCF KANDA YA NYANDA ZA JUU...

 Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Anthony Mavunde, akipeana mikono na mama mjane, Atulehemu Kiduko, ambaye analipwa fidia ya kila mwezi kufuatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AMWAGA PIKIPIKI KWENYE MINADA YA MIPAKANI

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina(mwenye miwani) akikagua moja kati ya pikipiki kumi kabla ya kuzikabidhi ili zitumike kwenye minada ya mipakani na upili.Picha na John MapepeleNa John...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS AKIPONGEZA CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA (TAWLA) KWA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalima iana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile wakati...

View Article
Browsing all 3497 articles
Browse latest View live